Mchezo wa kwanza uliomalizika kwa Liverpool kushinda mabao 4-1 wakiwa ugenini ulizua gumzo kwa mbwana Samatta kuonyesha uwezo wa hali ya juu baada ya kufunga bao la kichwa na bao hilo kukataliwa.
Leo jioni saa 5:00 usiku Genk watakaribishwa Anfield na majogoo hao wa jiji na Samata ataendelea kuwa kapteni wa Genk huku akipanga kuwafunga Liverpool.
Mechi kali zaidi;
Kundi F: Barcelona itaikaribisha Slavia Praha kwenye dimba lake la Nou Camp. Mchezo wa kwanza ulimalizika kwa Barcelona kushinda mabao 2-1 . Mchezo mwingine wa kundi hilo ni Dortmundi ikiikaribisha Inter Milan ,mchezo wa kwanza ulimalizika kwa inter milan kushinda mabao 2-0.
Michezo mingine ni;
Napoli Vs Salsburg,Lyon na Benfica,Valencia vs LOSC ,Zenit vs Leipzg na Chelsea vs Ajax
1 Comments
Leo jioni saa 5:00 usiku😂😂😂😂
ReplyDelete