ads

adds

BODI YA LIGI YAVIBANIA VILABU KUFANYA USAJILI MPAKA DISEMBA

Dirisha dogo la usajili kwa msimu huu wa 2019/20 litafunguliwa Disemba 16 2019 na kufungwa January 15 2019 tofauti na ilipotangazwa awali kwamba limefunguliwa tayari



Ilizoeleka dirisha hilo kufunguliwa Novemba 15 na kufungwa Disemba 15 lakini TFF imekuja na mabadiliko hayo

Dirisha la usajili litafunguliwa wakati ligi ikiwa imesimama kupisha michuano ya CECAFA Senior Challenge ambayo itafanyika nchini Uganda.Michuano hiyo inatarajiwa kuanza Disemba 01 mpaka Disemba 19

Hivyo baada ya kumalizika kwa michezo ya kalenda ya FIFA, timu zitacheza raundi moja au mbili kisha ligi kusimama tena kwa karibu wiki nne.

Post a Comment

0 Comments