Benzema amefunga magoli 123 ya La Liga, 39 ligi ya mabingwa ulaya, 15 copa del Rey na 3 kombe la dunia ngazi ya vilabu.
Katika orodha iliyotolewa na na FIFA Ferenc Puskas (242), Carlos Santillana ( 290), Alfredo di Stefano (308), Raul Gonzalez (323) na Cristiano Ronaldo (412). na wote walikuwa na miaka 29.
Je Benzema ataweza kuwa mfungaji bora wa muda wote akimzidi Ronaldo?
0 Comments