Kwa mara ya kwanza mchezaji
Neymar hatocheza dhidi ya montipellier hapo baadaye kutokana na majeraha. mchezaji huyo ghali zaidi duniani imefahamioka ameumia katika mguu wake wa kushoto.
Mchezaji huyo alietokea Barcelona amefanya vizuri msimu huu kwa kufunga magoli manne na kusaidia upatikanaji wa mengine manne katika mechi tano alizoichezea PSG.
Mbali na majeraha hayo redio RMC imetangaza uwepo wa Neymar dhidi ya
Bayern Munich jumatano ijayo katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya.
0 Comments