ads

adds

Mbappe;Arsenal ni chaguo sahihi

Kylin Mbappe atoboa siri kufanya mazungumzo na kocha wa Arsenal  arsene wenger kabla ya kutia saini PSG

                          Kylin Mbappe akiwa na mchezaji ghali zaidi duniani Neymar Jr
Kylin mbappe atacheza kwa mkopo katika klabu ya Paris saint-german akitokea klabu  monaco fc  , zote za nchini ufaransa kabla ya kujiunga rasmi na klabu hiyo kwa dau la euro milioni 165 mwaka ujao

imeripotiwa kuwa mara  baada ya dirisha  la usajili kufunguliwa  kocha Arsene wenger  alihusishwa  kuwa na mazungumzo na mchezaji huyo, kikao hicho  kilichodumu kwa muda wa saa matatu na kinda huyo wa  umri wa miaka 18,  lakini mchezaji huyo aliamua kujiunga na miamba hiyo ya Ufaransa  huku tumaini lake kubwa ni kucheza ligi ya mabingwa ulaya na kuitosa Arsenal.

Mbappe" nilikutana na kocha   mkongwe  Arsene Wenger , mwenye heshima katika soka   na uwezo wa kukuza na kuendeleza vipaji vya  wachezaji  makinda  Arsenal ilikuwa chaguo la kwanza ila PSG lilikuwa ni chaguo sahihi zaidi
mbappe anakuwa ni moja ya makinda walionunuliwa kwa pesa nyingi zaidi.

Post a Comment

0 Comments