Carvajal alijiunga na miamba hiyo ya hispania akitokea Bayern leverkusen m2013 na kuisaidia timu hiyo kubeba ligi ya mabingwa ulaya mara 3 na ligi kuu hispania mara moja.
Klabu hiyo imefikia uamuzi wa kumwongeza mkataba kutokana na beki huyo kuwa nguzo ya ukabaji upande wa kulia , klabu hiyo imemuongeza mkataba mwingine mpaka 2022 wakati ule wa awali ungekwisha mwaka
2020 .
Carvajal anaungana na wachezaji wengine kama isco na Marcelo waliopewa mikataba mipya na timu hiyo
0 Comments