WAWA KUREJEA NCHINI BAADA YA KUMALIZA JAMBO LAKE


Beki kisiki wa Simba Paschal Serge Wawa jana alikamilisha jambo muhimu katika maisha yake baada ya kuoa
Wawa alipewa ruhusa na uongozi wa Simba kurejea kwao Ivory Coast kwa ajili ya kufunga ndoa

Wawa anatarajiwa kurejea kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Namungo Fc ambao utapigwa Jumapili mkoani Arusha

Post a Comment

0 Comments