advertise with us

ADVERTISE HERE

UNAKIZUNGUMZIAJE KIKOSI HIKI CHA WACHEZAJI 20 YANGA


Klabu ya Yanga inajumla ya wachezaji 20 mpaka sasa baada ya kuachana na wachezaji wake 16 mwishoni mwa msimu wa 2019/20 huku ikisajili wachezaji wengine wapya watano. Kwenye orodha ya wachezaji hao mshambuliaji msumbufu Benard Morrison amejumuishwa.

Hiki hapa ni kikosi kamili cha wachezaji waliopo mpaka sasa

MAKIPA
1. Farouk Shikalo
2. Metacha Mnata
3. Ramadhan Kabwili

BEKI WA KULIA

4. Paul Godfrey

BEKI WA KUSHOTO
5. Yasin Mustafa (Mpya)
6. Adeyoun Saleh

MABEKI WA KATI
7. Lamine Moro
8. Said J Makapu
9. Bakari Nondo Mwamnyeto ingizo jipya kutoka Coastal Union
10. Abdallah Slhaibu Ninja Ingizo jipya kutoka Serbian timu ya MFK

VIUNGO CHINI

11. Zawadi Mauya ingizo jipya kutoka Kagera Sugar
12. Feisal Toto
13. Haruna Niyonzima
14. Abdulaziz Makame


VIUNGO WASHAMBULIAJI
15. Balama Mapinduzi
16. Deus Kaseke
17. Bernard Morrison
18.Juma Mahadhi

WASHAMBULIAJI
19. Wazir Junior ingizo jipya kutoka Mbao
20. Ditram Nçhimbi


Post a Comment

0 Comments