"Msimu mpya mara nyingi unakuwa na changamoto nyingi maana kila timu hujipanga kutokana na ushindani uliopo, nasi tumejipanga kuhakikisha tunafanya vizuri"
"Binafsi, namuomba sana Mungu anisaidie maana natarajia kufanya vyema zaidi ya nilivyofanya msimu uliomalizila ili kuipa mafanikio timu yangu nje na ndani ya uwanja," alisema Kaseke
Kaseke ni mmoja wa wachezaji waandamizi waliobaki kwenye kikosi cha Yanga, pamoja na nyota kama Haruna Niyonzima na Said Juma Makapu
0 Comments