Kikosi cha Yanga chni ya kocha eymael kumeendelea na mazoezi makali kujiandaa na mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Mwadui FC mchezo utakaopigwa hii leo jijini Dar es salaam. nimekuwekea picha za wachezaji wakijiandaa na mchezo huo muhimu wa ligi
0 Comments