Rekodi ya Ronaldo
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na dakika ya 61 Cristiano ronaldo alifunga bao lake la 25 kwa msimu huu na kumfanya aweke rekodi ya kufunga mabao 25 kwa misimu 11 mfululizo. Bao la faulo ni la kwanza kwa Ronaldo kufunga tangu ajiunge na Juventus huku pia akivunja rekodi ya Omar Siviro aliyoweka msimu wa 1960/61 kwa kufunga mabao 25 ndani ya Serie A.Ronaldo amecheza michezo 26 ya Serie A msimu huu na kufunga mabao 25.
Juve iliibuka na ushindi wa mabao 4-1 na kuuifanya kufikisha pointi 75 kwenye michezo 30 waliyocheza.
Kikosi cha Juventus kilianza na
Buffon,Cuadrado,De Ligt,Bonnuci,Danillo,Betancur,Pjanic,Rabiot,Ronaldo ,Dybala na Benadeschi
0 Comments