ads

adds

MATOKEO YA MECHI ZILIZOPIGWA JUMANNE TAREHE 14-07-2020


Ligi mbalimbali zimeendelea hapo jana jumanne tarehe 14 Julai.Klabu ya Chelsea imeendelea kujiimarisha nafasi ya 3 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Norwich. huko Serie A mambo yalikwenda vyema kwa Atlanta baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 6-2 dhidi ya Brescia.

Haya hapa matokeo ya mechi nyingine 



Post a Comment

0 Comments