advertise with us

ADVERTISE HERE

BARCELONA YAENDELEZA UBABE LA LIGA YAIBAMIZA VILLA REAL


Klabu ya Barceloa imeendelea kufanya vyema La Liga. Wkiwa ugenini dhidi ya Villa Real waliibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1. Pau Torres alifungua nyavu za timu yake kwa kujifunga bao dakika ya 3 ya mchezo kabla Gerrald Moreno kusawazisha dakika ya 14 .

Luis Suarez aliipa Barcelona bao la pili dakika ya 20 huku Griezman akifunga bao la 3 dakika ya 45.Mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika Barcelona walikuwa mbele kwa mabao 3-1. Ansu Fati alikamilisha ushidi wa Barcelona kwa bao dakika ya 89 na kufanya mchezo huo kumalizika kwa Barcelona 4-1 Villa Real

Barcelona anaendelea kuwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi akiwa na pointi 73 nyuma ya Real Madrid mwenye pointi 77 wakicheza michezo 34 kila mmoja 

Post a Comment

0 Comments