advertise with us

ADVERTISE HERE

YANGA VS AZAM NANI KUIBUKA NA POINTI TATU HII LEO JIONI


Ligi kuu Tanzania bara inaendelea leo jioni kwa kuzikutanisha timu kazi za  Azam na Yanga . Mchezo huu utaigwa uwanja wa taifa jijini Dar es salaam majira ya saa 10 jioni. Mchezo huu unategemewa kuibua mbabe wa ligi kati ya Azam na Yanga .

Timu hizi zinaongozana kwenye msimamo wa ligi Azam wakiwa nafasi ya pili na pointi 57 huku Yanga akiwa na pointi 55 akiwa nafasi ya 3.Matokeo ya mechi ya hii leo yana manufaa kwa vilabu vyote viwili.

Mchezo huu utaruka live kupitia Azam Tv hivyo jisogeze kwenye runinga yako jioni ya leo uweze kuona live mtanange huu  

Post a Comment

0 Comments