advertise with us

ADVERTISE HERE

KLABU YA SCHALKE 04 INAZIDI KUWAKERA MASHABIKI WAKE DUNIANI


Klabu ya Schalke O4 inayoshiriki ligi kuu Ujerumani "Bundesliga "imeendelea kuwa gumzo nchini humo baada ya kucheza michezo 6 mfululizo bila kupata ushindi wowote

Schalke 04 wapo nafasi ya 9 wakicheza michezo 31 na kupata pointi 39 tu huku wakishinda michezo 9 sare 12 na kufungwa michezo 10 wamejikuta wakifanya vibaya zaidi tangu Bundesliga kurejea kutokana na kusimama kwa sababu ya janga la corona. 

Ligi hiyo ilirejea tarehe 16 mei 2020 na Schalke ikiwa nyumbani iliambulia kupigwa mabao 4-0 michezo mitano iliyofuata imeambulia vipigo na sare

Kwenye michezo 6 waliyocheza wamefungwa mabao 12 huku wakifunga mabao 3 tu.Ajabu ni kwamba mbali na kufanya hovyo msimu huu lakini wapo nafasi ya 9

Haya hapa matokeo ya Schalke 04  Mechi 7 zilizopita
 


Post a Comment

0 Comments