Mchezaji huyo aliomba radhi na alinukuliwa akisema
Habari, Naitwa Lamine Morro mchezaji wa Yanga SC. .Naomba radhi kwa kitendo kisichocha kiungwana nilichokionyesha leo dhidi ya mchezaji wa JKT Tanzania. . naomba shirikisho la michezo Tanzania mnisamehe pia niliongea na mchezaji husika nikamuomba msamaha. .Naombeni mnisamehe sana kiukweli damu ilikuwa imechemka nikashindwa ku control hisia zangu nikawa over reacted. . wanachama, wapenzi wote wa soka, shirikisho (TFF) ,klabu yangu, naombeni mnisamehe haitojirudia"Lamine Morro.
Mbali na mchezaji huyo kuomba msamaa lakini uongozi wa Yanga ulikasirishwa na tukio hilo na wakamuadhibu nyota huyo
Hii hapa ni barua iliyotolewa na uongozi wa Yanga
0 Comments