advertise with us

ADVERTISE HERE

MESSI ANANGOJA BAO MOJA TU KUWEKA REKODI MPYA DUNIANI


Akiwa amebakiwa na siku saba tu kutimiza miaka 33 mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi ameweka tena historia usiku wa jana baada ya kufunga bao la 699 na kumfanya abakiwe na bao 1 tu kufikisha mabao 700.

Messi amekuwa nguzo kuu kwa ufungaji ndani ya klabu ya Barcelona lakini pia ndiye mfungaji bora muda wote wa La Liga akiwa na mabao 439. Bao la ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Club Depotivo Leganes linaifanya Barcelona kuendelea kukaa kileleni mwa La Liga ikiwa na pointi 64  kwenye michezo 29 dhidi ya 59 za Real Madrid waliocheza michezo 28.

Post a Comment

0 Comments