Arsenal walikuwa kupata bao la kuongoza dakika ya 68 kupitia mshambuliaji Nicolas Pepe lakini bao hilo halikudumu kwani mshambuliaji wa Brighton Lewis Dunk alisawazisha bao hilo dakika ya 75 na dakika za lala salama Neal Maupay alishindilia goli la ushindi dakika ya 90 ya mchezo
Matokeo hayo yanaifanya Arsenal ushuka mpaka nafasi ya 10 wakiwa na pointi 40 huku wakibakiwa na michezo 8 kuweza kufuzu nafasi ya nne . swali ni je wataweza?
0 Comments