JUMA ABDUL MNYAMANI AJA KIVINGINE KABISA



Nahodha Msaidizi wa Yanga Juma Abdul ameamua kurejea kivingine baada ya janga la Corona kwani kanyoa nywele zake.Tangu msimu uliopita Abdul alikuwa akifuga rasta, lakini kuanzia jana, nyota huyo aliamua kuziondoa rasta hizo na kunyoa upara

Kwa sasa wachezaji wa Yanga wanaendelea na mapumziko wakati Serikali ikiendelea na jitihada za kudhibiti maambukizi ya Corona

MUONEKANO MPYA WA JUMA ABDUL MNYAMANI


Post a Comment

0 Comments