BETI NASI UTAJIRIKE

TETESI ZA SOKA DUNIANI LEO TAREHE 1 JULAI 2024

 Manchester United imeanza mazungumzo na beki wa kati wa Uholanzi Matthijs de Ligt, 24, ambaye yuko tayari kuondoka Bayern Munich msimu huu wa joto. (Sky Sport Germany)


Paris St-Germain wako tayari kulipa ada ya uhamisho iliyovunja rekodi ya dunia kumsajili winga wa Uhispania Lamine Yamal, 16, kutoka Barcelona. (Mundo Deportivo - in Spanish)

Manchester City wana nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Bayern Munich na Ujerumani Joshua Kimmich, 29, na winga wa RB Leipzig kutoka Uhispania Dani Olmo, 26. (Sun)

Chelsea pia wako tayari kuwapa kiungo wa kati wa Uingereza Conor Gallagher, 24, mshambuliaji wa Albania Armando Broja, 22, na beki wa kati wa Uingereza Trevoh Chalobah, 24, kama wachezaji wanaoweza kutafutwa katika dili la Isak. (Football Insider)


Post a Comment

0 Comments