advertise with us

ADVERTISE HERE

UCHAMBUZI WA USIYOYAFAHAMU MICHUANO YA AFCON 2021 KWA KUNDI A

 Michuano ya 33 ya Kombe la Mataifa ya Afrika inaanza nchini Cameroon Januari 9 Jumapili, ikiwa imecheleweshwa kwa mwaka mmoja kutokana na janga la corona.



Hapa, tunaangazia kundi A, ambalo linajumuisha wenyeji Cameroon, Burkina Faso, Ethiopia na Cape Verde.

Ratiba

Jumapili 9 Januari: Cameroon v Burkina Faso, Ethiopia v Cape Verde

Alhamisi 13 Januari: Cameroon v Ethiopia, Cape Verde v Burkina Faso

Post a Comment

0 Comments