Kocha Sven aliongoza mazoezi hayo kuelekea mchezo wa Simba Day tarehe 22 Agosti lakini pia kwa ajili ya mechi ya Ngao ya Jamii tarehe 29 mchezo utakaopigwa mjini Moshi dhidi ya Namungo FC . Baada ya michgezo hiyo Simba wataanza ligi kuu rasmi
Hizi ni baadhi ya picha za wachezaji wapya wa Simba wakiwa mazoezini
Beki kisiki IBRAHIM AME
MSHMBULIAJI CHRIS MUGALU
BOX TO BOX MIDFIELDER LARRY BWALYA
CHARLES ILAMFYA
BENARD MORRISON WAKILI MSOMI
BEKI WA KULIA NI DAVID KAMETA
BEKI MKABA ROHO JOASH ONYANGO
0 Comments