advertise with us

ADVERTISE HERE

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATANO TAREHE 15-07-2020


Real Madrid inaamini kuwa mshambuliaji Kylian Mbappe ,21, atakuwa na mazungumzo nao kuhusu uhamisho kutoka Paris St-Germain. (Marca)
Chelsea iko tayari kumpatia kipa wa Atletico Madrid na Slovenia Jan Oblak ofa £90.7m. (AS - in Spanish)
Paris St-Germain inamlenga mshambuliaji wa Manchester United na Marcus Rashford, 22,. (Independent)
Barcelona inamuuza kiungo mchezeshaji wa Brazil Philippe Coutinho, 28, kwa Arsenal na Newcastle huku wakijaribu kutafuta fedha za kumnunua mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 22. (Goal)
Phillipe Coutinho
Mshambuliaji wa Brazil Neymar, 28, anataka kurudi Barcelona, na Paris St-Germain wanapiga hesabu za thamani yake huku akiwa amesalia na kandarasi ya miaka miwili katika mkataba wake (Mundo Deportivo - in Spanish)
Kiungo wa kati wa Southampton na Denmark Pierre-Emile Hojbjerg, 24, anataka kujiunga na Tottenham, ambayo inaweza kumtumia beki wa England Kyle Walker-Peters 23,kuafikia. (Evening Standard)
Mshambuliaji wa Lille na Nigeria Victor Osimhen, 21, amechagua kujiunga na Napoli katika mkataba wenye thamani ya Yuro milioni 81m (£73.5m). (RMC Sport - in French)
Mshambuliaji wa Lille na Nigeria Victor Osimhen, 21, amechagua kujiunga na Napoli katika mkataba wenye thamani ya Yuro milioni 81m (£73.5
Maelezo ya picha,
Manchester United itakosa malipo ya £25m kutoka kwa wafadhili iwapo watafeli kufuzu katika michuano ya kombe la klabu bingwa Ulaya. (Daily Mail)
Beki wa Liverpool na Uskochi Andrew Robertson, 26, anavutiwa ba uhamisho lakini atatia kandarasi ya muda mrefu na. (Lockdown Tactics via Express)
Zlatan Ibrahimovic
Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic, 38, amesema hana uhakika kuhusu mustakabali wake ndani ya AC Milan kwa kuwa hakuna mazungumzo yoyote yaliofanyika kuhusu mkataba ikiwa sasa ni chini ya mwezi mmoja kabla ya mkataba wake kufikia ukingoni. (Sky Sports)
Luca Jovic
Kai Havertz anataka kuondoka Bayer Leverkusen kwasababu walishindwa kufuzu katika michuano ya klabu bingwa Ulaya hivyobasi Chelsea watalazimika kuhakikisha wanafuzu katika michuano hiyo ili kumshawishi kiungo huyo wa Ujerumain 21 kujiunga na timu hiyo.. (Bild)
Bayern Munich wanajiandaa kuanza mchakato wa kumnasa Tanguy Ndombele ,23, wa Tottenham na Mfaransa mwenzie anayecheza katika nafasi ya kiungo cha kati katika klabu ya Monaco, Tiemoue Bakayoko,25. (Le 10 Sport via Daily Mail)
Nice imetoa ofa kwa kiungo wa kati Mhispania Rony Lopes anayekipiga Sevilla. (RMC Sport-in French)
Mkurugenzi wa michezo katika klabu ya Norwich Stuart Webber amesema kwamba ombi la kutaka kumnunua mchezaji kinda mwenye kipaji mwisho wa msimu litaanza kwa dau la £20m . (Norwich Evening News)

Post a Comment

0 Comments