advertise with us

ADVERTISE HERE

NI NANI ANATAKA KUMUONDOA DKT MSOLLA NDANI YA YANGA ?


Klabu ya Yanga imekanusha taarifa za uongo zilizosambaa mitandaoni kuhusu kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa klabu hiyo Dr Mshindo Msolla .Klbu hiyo imetoa barua maalumu yenye kukanusha swala hilo. Sisi kama wadau wa soka tuanajiuliza ni nini hasa kinapelekea taarifa hizo za uongo kutungwa na kusambazwa? je ni nani anataka kumpindua mwenyekiti msola 

Hii hapa barua ya Yanga 


Post a Comment

0 Comments