Ligi mbalimbali zimeendelea hapo jana usiku.klabu ya Tottenham imeendelea na ushindi baada ya kushinda mabao 3-1 dhidi New castle.Manchester city wamebaki nafasi ya pili baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 Bournemouth.
Haya hapa matokeo ya mechi mbalimbali
0 Comments