"Mpaka sasa vyombo vya usalama nchini vilitakiwa viwe vimemfukuza Tanzania ni mesikitishwa sana na baadhi ya mashabiki wanaofikia hatua ya kusema kuwa kama wao ni Simba kunatatizo gani kwa Yanga kuwa Nyani kwani wote ni wanyama. kauli hizo ni za kibaguzi na hazifai kutumiwa kama utani. Kwani waliutukanwa sio Yanga pekee bali ni nchi nzima ya Tanzania, mataifa Mengine nje hayajui kuwa ni Yanga ndio walioitwa NYANI bali wanajua ni Watanzania ndio waliobaguliwa kwa kuitwa jina hilo.
0 Comments