Klabu ya Manchester United imeendelea kuweka rekodi mpya ligi kuu nchini Uingereza baada ya kushinda mchezo dhidi ya Aston villa.Manchester United waliibuka na ushindi wa mabao 3-0 yaliyofungwa na B.Fernandez dakika ya 27 kwa mkwaju wa penati ,Mason Greenwood dakika ya 45 ya mchezo huo na kuwafanya Manchester United kwenda mapumziko wakiwa mbele kwa mabao 2-0. Kiungo Paul Pogba aliipa manchester United bao la 3 dakika ya 58 na kuifanya klabu hiyo ifikishe pointi 58 nyuma ya Leicester City waliopo nafasi ya 4 wakiwa na pointi 59. Rekodi mpya Kitendo cha Manchester kushinda mechi 4 mfululizo tena kuanzia mabao matatu kunaifanya klabu hiyo kuweka rekodi kuwa klabu ya kwanza kushinda mechi nne mfululizo kwa idadi kubwa ya mabao. Manchester United ilishida 3-0 dhidi ya Shiffield ,3-0 dhidi ya 3-0 dhidi ya Brighton ,5-2 dhidi ya Bournemouth na 3-0 dhidi ya Aston Villa
Post a Comment
0
Comments
MERIDIAN BET
EURO 2024
Kuanzia tarehe 14 june to 14 july AMOSPOTIXTRA TEAM itakuwa ujerumani kukuletea michuano ya EURO2024
0 Comments