ads

adds

HAYA HAPA NI MATOKEO YA MECHI ZOTE ZILIZOPIGWA TAREHE 13-07-2020


Mechi za ligi mbalimbali zimeendelea hapo jana usiku huku tukiishuhudia Manchester United ikishindwa kuingia top 4 bada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Southhampton. Uhispania nako Real Madrid amezid kusogelea ubingwa wa La Liga baada yaushindi wa mabao 2-1 dhid ya Granada huku Italy Klabu ya Intermilan ikizidi kujiimarisha nafasi ya 2 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Torino.

Haya hapa ni matokeo ya mechi mbalimbali Ulaya 

Post a Comment

0 Comments