Baadhi ya mashabiki walidhani klabu hiyo itaanza mazoezi siku ya pili ya safari ambayo ni leo lakini walianza mazoezi mara baada tu ya kutua jijini humo.
Amospoti.com ilipata wasaa wa kuzungumza na mashabiki mbali mbali na mmoja wao alinukuliwa akisema "Hawa akina matola hawataki utani na ubingwa aisee, sisi tulijua timu itapumzika baada ya safari lakini wao wamefikia uwanjani tea kwa mazoezi makali mno. Kweli Simba ya mwaka huu ni baba lao"
Hivi ndivyo wachezaji wa Simba walivyoanza mazoezi makali
0 Comments