advertise with us

ADVERTISE HERE

SIMBA WASHINDWE WAO TU UBINGWA NJIA NYEUPE


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara unaonyesha Simba SC wanaongoza kwa pointi 75 baada ya kucheza mechi 30. Nafasi ya pili inashikiliwa na Azam wenye pointi 57 na wamecheza michezo 29 huku Yanga ikishika nafasi ya 3 ikiwa na pointi 55.

Simba wanahitaji mechi nne tu kuweza kutwaa Ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya tatu mfululizo. Kwa sasa kikosi hicho kinajiandaa kuelekea jijini Mbeya kwa ajili ya michezo miwili ule wa Mbeya City na Prisons kisha kitaelekea mtwara kwa ajili ya kumenyana na Ndanda FC na Namungo FC na kama endapo timu hiyo itashida basi itatangazwa bingwa mpya wa VPL.

Matokeo mechi za jumamosi



Huu hapa msimamo wa Ligi


Post a Comment

0 Comments