ads

adds

RAIS MAGUFULI AIPA TANO TAIFA STARS KWA HILI


Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amefurahishwa na mwenendo wa soka la Tanzania hasa Taifa Stars.Hapo jan akifunga bunge la 11 alinukuliwa akisema 

"Naipongeza Timu yetu ya Taifa ya Soka ambayo baada ya takribani miaka 39 kupita hatimaye mwaka jana ilifanikiwa kufuzu kushiriki fainali za kombe la Afrika,nawapongeza wanamichezo mingine waliopeperusha vizuri bendera yetu hususani katika ndondi na riadha”-

Post a Comment

0 Comments