Msemaji wa klabu ya Yanga antonio Nugaz amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya timu hiyo kutoka sare dhidi ya Azam FC mchezo uliopigwa jana dimba la taifa jijini Dar es salaam . Nugaz alionekana kuhuzunishwa na sare hiyo aliandika
Haikuwa bahati yetu leo,Kongole kwa Wachezaji wetu kwa kucheza mpira mzuri wa kuvutia ila tumeshindwa kupata alama tatu,Kikubwa tu ni kwa wapenzi,wanachama na mashabiki kuendelea kuiamini na kuisupport Brand ya @yangasc kwa moyo wote, Insha Allah tukutane jumatano kwenye Mchezo wetu dhidi ya Namungo Fc . 🙏
Post a Comment
0
Comments
MERIDIAN BET
EURO 2024
Kuanzia tarehe 14 june to 14 july AMOSPOTIXTRA TEAM itakuwa ujerumani kukuletea michuano ya EURO2024
0 Comments