ads

adds

LIONEL MESSI AWEKA REKODI MPYA LA LIGA



Mchezaji  bora duniani mara sita Lionel Messi ameendelea kuweka rekodi mpya katika ligi kuu Hispania maarufu kama La Liga baada ya kuisaidia timu yake kushinda mabao 4-0 dhidi ya Mallorca hapo jana 

Mshambuliaji huyo hatari alifanikiwa kufunga bao la 20 dakika za nyongeza na kumfanya kuwa mchezaji wa kwanza La Liga kufunga mabao 20 kwa misimu 12 mfululizo. 

Messi anaedelea kushikilia rekodi yake ya kufunga mabao mengi zaidi ndani ya Barcelona huku akifunga mabao La Liga 439 akiasist mara 185 huku akiwa na jumala ya mabao 628 tangu  alipoanza kuitumikia klabu hiyo.

Post a Comment

0 Comments