Wachambuzi nguli Amos Medeck na Mohammed Abbas wameendelea kuchambua masuala mbalimbali kuhusu kurejea ligi kuu Vodacom .Ndani ya Sports Angles kipindi kinachorushwa na kuongozwa na mtangazaji mashuhuri Mohammed Ngangambe kupitia Lemutuz Online TV wachambuzi hao wamefunguka mambo mengi. Tazama interview nzima hii hapa .
Post a Comment
0
Comments
MERIDIAN BET
EURO 2024
Kuanzia tarehe 14 june to 14 july AMOSPOTIXTRA TEAM itakuwa ujerumani kukuletea michuano ya EURO2024
0 Comments