ads

adds

UCHAMBUZI: AMOS MEDECK ,MOHAMMED NA NGANGAPE WACHAMBUA KUREJEA KWA LIGI KUU VODACOM


Wachambuzi nguli Amos Medeck na Mohammed Abbas wameendelea kuchambua masuala mbalimbali kuhusu kurejea ligi kuu Vodacom .Ndani ya Sports Angles  kipindi kinachorushwa na kuongozwa na mtangazaji mashuhuri Mohammed Ngangambe kupitia Lemutuz Online TV wachambuzi hao wamefunguka mambo mengi.

Tazama interview nzima hii hapa .





Post a Comment

0 Comments