BETI NASI UTAJIRIKE

RASMI : BOSS WA AMOSPOTI KUICHAMBUA MECHI YA SIMBA NA YANGA KUPITIA LEMUTUZ TV


Mchambuzi anayechipukia  kwenye soka bw. Amos Medeck maarufu kama "AMOSPOTI" ametangaza rasmi kuchambua soka kwenye kituo cha Lemutuz online Tv.

Bw.AMOSPOTI amekuwa akichambua soka kupitia website ya www.amospoti.com na sasa ametangaza rasmi kushirikiana na Lemutuz online Tv .

mtaalamu huyo wa soka amejipanga  kufanya uchambuzi  yakinifu kuelekea  mechi ya watani wa Jadi kati ya Simba na Yanga itakayochezwa tarehe 03 Machi kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.


Post a Comment

0 Comments