Mechi za ligi mbalimbali zimeendelea kuchezwa hapo jana hapo jana huku nyingi kati ya mechi hizo zikimalizika kwa matokeo ya kushangaza ukiwemo mchezo wa ligi kuu England kati ya Watford na Liverpool
Liverpool walipokea kipigo cha kwanza msimu huu kutoka kwa Watford na kipigo hicho kilizima ndoto za Liverpool kucheza msimu mzima bila kufungwa kama ambavyo Arsenal chini ya Arsene Wenger walifanya hivyo msimu wa 2003-2004
Matokeo mengine ni
0 Comments