advertise with us

ADVERTISE HERE

HAYA HAPA MATOKEO YOTE YA MECHI ZILIZOPIGWA JANA ULAYA

Mechi za ligi mbalimbali zimeendelea kuchezwa hapo jana hapo jana huku nyingi kati ya mechi hizo zikimalizika kwa matokeo ya kushangaza ukiwemo mchezo wa ligi kuu England kati ya Watford na Liverpool



Liverpool walipokea kipigo cha kwanza msimu huu kutoka kwa Watford na kipigo hicho kilizima ndoto za Liverpool kucheza msimu mzima bila kufungwa kama ambavyo Arsenal chini ya Arsene Wenger walifanya hivyo msimu wa 2003-2004 

Matokeo mengine ni 






Post a Comment

0 Comments