Kikao hicho ambacho pia kilimshirikisha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa, Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Walemavu Mh Anthony Mavunde kimemaliza sintofahamu iliyojitokeza
Inaelezwa GSM wamepewa baraka zote kuendelea na majukumu waliyokuwa wakifanya ambapo Dk Msolla amewahakikishia kuwa uongozi wake utaendelea kuwaunga mkono na kushirikiana nao bega kwa bega
Ni jambo jema kuona viongozi wamechukua hatua haraka kumaliza sintofahamu hiyo ambayo tayari ilikuwa imeibua taharuki miongoni mwa wapenzi, mashabiki na Wanachama wa Yanga
0 Comments