Jerry Muro akiwa klabuni hapo alinukuliwa akisema
" Nipo hapa kuwatangazia wa Tanzania, Afrika na Dunia kwa jumla kuwa huu ndio muda rasmi wa Yanga, ile kampa kampa tena inarudi. . Password tunazo sisi na tayari nishampa katibu na kocha wetu . .Tutapambana na yeyote anayetaka kuionea ama kuidhurumu. . Yanga Viongozi mliokuwepo rudini tuungane , mimi nimekuja hakuna aliyeniita nimeona fedheha ,karaha zimezidi. . Ukuu wa wilaya ulinikuta nikiwa Yanga SC . . Usisubiri kuitwa wala kuchaguliwa katika kamati kama unaumia na Yanga njoo. . Mkemi, Kleb na wengineo tunajuana wale wazee wa kamati ya miba. .Njooeni tusikae pembeni kulalamika, njoeni tuungane milango ipo wazi viongozi nishaongea nao hawana hiyana na hawawezi mzuia mtu. .
"Uongozi ni kupokezana vijiti, nimeondoka nimewaachia akina Nugaz, kuna ndugu yangu yupo tu ameng'ang'ania kama kigando au ni msukule wa Simba ? au hana kazi nyingine ya kufanya? rudi kafundishe madrasa maana ndio elimu pekee uliyonayo. . na akiongea ongea ovyo asisahau kuwa mi mkuu wa wilaya ntamuweka ndani masaa 48"
Jerry Murro.
0 Comments