BETI NASI UTAJIRIKE

HUKUMU YA REFA ALIYECHEZESHA MECHI YA YANGA NA AZAM

Refa Hance Mabena aliyechezesha mchezo wa Yanga vs Azam amejikuta katika wakati mgumu baada ya Kocha mkuu wa Yanga  Luc Eymael kumshtaki kwa kitendo cha ubaguzi wa rangi alichofanyiwa 



Luc anasema mara baada ya mpira kumalizika alimfuata refa huyo kumpa mkono lakini refa huyo alikataa na kitendo hicho kilimfanya Luc ajione amebaguliwa kutokana  na kuwa yeye ni mzungu. Malalamiko ya Luc yamepokelewa na bodi ya ligi na wamejishaunda kamati ya masaa 72 kwa ajili ya kumuhoji refa huyo na kutoa majibu





Post a Comment

0 Comments