BETI NASI UTAJIRIKE

SIMBA WAMPA DILI NONO SHIZA KICHUYA NA HUU NDIO MKATABA ALIOSAINI

Klabu ya Simba iliamua kuwasapraizi mashabiki wake kwa kumrudisha kiungo fundi wa aliyewahi kuichezea  Klabu hiyo misimu kadhaa iliyopita kabla ya kurejea tena kuitumikia klabu hiyo yenye makao makuu Kariakoo na shughuli za uendeshaji zikifanywa Bunju.


Shiza kichuya ni jina hatari zaidi kwa timu pinzani kwani uwezo wake mkubwa ulimfanya kuwa gumzo miongoni mwa wapenzi wa soka la Tanzania. 


Mchezaji huyo alikuwa sehemu ya kikosi cha kikosi cha wekundu hao wa Msimbazi hapo awali kabla ya kuelekea Misri kucheza soka la kulipwa.

Haijafahamika kipi kimemkuta Kichuya huko Misri lakini mabosi wake wa zamani wameamua kumrejesha kazini Msimbazi.Inaelezwa kuwa Kichuya amesaini mkataba wa miaka miwili.


Post a Comment

0 Comments