BETI NASI UTAJIRIKE

KWA KUNDI HILI TAIFA STARS NJIA NYEUPE KOMBE LA DUNIA

Shirika la soka barani Africa Leo usiku limetoa ratiba kamili ya kufuzu kombe la dunia nchini Qatar mwaka 2022 huku Tanzania ikiwa ni moja ya timu husika


Taifa stars imepangwa kundi J ambalo si gumu sana kutokana na timu hiyo kusheheni vipaji lukuki.Mshambuliaji wa Aston Villa na nahodha wa Taifa stars ni moja ya nyota wanaodhaniwa kuisaidia Taifa staz kuvuka hatua hizo.


Taifa stars itavaana na Madagascar DRC congo na Benin. Taifa stars itapaswa kucheza kwa weredi na kumaliza katika nafasi ya kwanza ili iweze kufuzu hatua za makundi kwa michuano hiyo mikubwa duniani. Haya hapa ni makundi ambayo yanawania nafasi ya kucheza kombe la dunia huku timu tano tu zinatakiwa kwenye michuano hiyo


Post a Comment

0 Comments