RIPOTI: HAYA HAPA MATOKEO YA MECHI ZA JANA JUMAPILI

Jana jumapili mechi za ligi mbalimbali ziliendelea kuchezwa huku baadhi zikitupa matokeo ya kushangaza ukiwemo mchezo wa Manchester United kombe la FA wakiibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Tranmere



Haya hapa matokeo ya michezo mingine ikiwemo La Liga,Serie A , Bundesliga, Ligue 1 kwa michezo iliyopigwa hapo jana 




Post a Comment

0 Comments