Kikosi cha Simba kimehamia mji wa Unguja ambako mchezowa nusu fainali kombe la mapinduzi dhidi ya AzamFC utapigwa. Simba imepeleka wachezaji wake wote muhimu
kuelekea mchezo wake na Azam utakaopigwa hapo kesho saa 2:15 usiku kwenye dimba la Amaan. Hizi ni baadhi ya picha za wachezaji wakiendelea na mazoezi makali kuelekea mchezo huo.
Post a Comment
0
Comments
MERIDIAN BET
EURO 2024
Kuanzia tarehe 14 june to 14 july AMOSPOTIXTRA TEAM itakuwa ujerumani kukuletea michuano ya EURO2024
0 Comments