Kiungo mshambuliaji aliyesajiliwa hivi karibuni huku akifanya vizuri mechi yake ya kwanza dhidi ya Singida United ameendelea kuoyesha uwezo wa hali ya juu hata mazoezini. Morrison alikuwa moto mkali hapo jana kwenye mazoezi yaliyofanyika viwanja vya chuo cha Sheria jijini Dar es salaam na kuwafanya wachezaji wenzake kummwagia sifa kemkem.Hizi ni baadhi ya picha za mazoezi hayo.
0 Comments