Kikosi cha Yanga kimeendelea kujinoa viali kuelekea mchezo wa ligi kuu Tanzania vbara dhidi ya mahasimu wao Simba. Mchezo utakaopigwa dimba la mkapa hapo kesho januari
04 huku Simba wakiwa wenyeji wa mchezo huo. Kabla ya kuanz mazoezi ya jioni kulikuwa na utambulisho wa kiungo Haruna Niyonzima na meneja mpya wa timu bwana Abeid Mziba. Hizi ni baadhi ya picha za mazoezi ya Yanga.
Post a Comment
0
Comments
MERIDIAN BET
EURO 2024
Kuanzia tarehe 14 june to 14 july AMOSPOTIXTRA TEAM itakuwa ujerumani kukuletea michuano ya EURO2024
0 Comments