BETI NASI UTAJIRIKE

HUU HAPA UJUMBE WA RAIS WA FIFA KWA RAIS WA TFF WALLACE KARIA

Raisi wa shirikisho la soka Ulimwenguni ametuma ujumbe wa pongezi kwa rais wa shirikisho la soka Tanzania Bwana Wallace Karia akimpongeza kuchaguliwa kuwa raisi wa CECAFA . Karia ataliongoza shirikisho hilo la soka Africa mashariki na kati kwa miaka 4



Wallace Karia amekuwa rais bora kwa shirikisho la soka Tanzania huku akiifanya Tanzania kung'ara duniani kwa ubora wa soka. Chini ya utawala wa Karia Taifa stars imeshiriki michuano mikubwa ya AFCON 2019 ,Simba kufuzu hatua ya robo fainali Ligi ya mabingwa Africa , na sasa Taifa Stars  inajiandaa kucheza CHAN 2021 nchini Cameroon huku pia ikijindaa kufuzu kombe la dunia mwaka 2022 nchini Qatar. Huu hapa ujumbe wa rais wa FIFA.






Post a Comment

0 Comments