BETI NASI UTAJIRIKE

HII NDIYO TIMU YA KWANZA ITAKAYOCHEZA NA YANGA KOMBE LA MAPINDUZI

Kikosi cha Yanga kiliwasili visiwani Zanzibar kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi . Hapo kesho jumanne Yanga itaanza kampeni yake ya kutwaa kombe la mapinduzi dhidi ya 



Jamhuri. Mchezo huo utachezwa majira ya saa mbili na nusu usiku kwenye dimba la Amaan. Kama Yanga atashinda mchezo huo basi atafuzu nusu fainali.  Yanga imepeleka wachezaji muhimu kwenye michuano hiyo inayochukua siku 6 kukamilika huku timu shiriki ni Yanga,Simba ,Azam,Jamhuri ,Mtibwa Sugar ,Chipukizi,Mlandege  na Zimamoto.

HII HAPA RATIBA NZIMA YA KOMBE LA MAPINDUZI


Post a Comment

0 Comments