BETI NASI UTAJIRIKE

EEH HAJI MANARA AMVAA KOCHA MPYA WA YANGA

Ofisa habari wa klabu ya Simba amejikuta akiingia kwenye ugomvi mpya na mashabiki wa Yanga baada ya kumvaa kocha mpya wa klabu hiyo Luc Eymael  Manara ameibuka
Kufuatia 



Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael kueleza alibaguliwa na Mwamuzi, Hance Mabena, katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam. Manara ameandika kupitia mitandao ya kijamii.



Post a Comment

0 Comments