BETI NASI UTAJIRIKE

HAYA HAPA MATOKEO YA MECHI ZA ULAYA ZILIZOPIGWA JANA JUMAPILI

Ligi mbalimbali ziliendelea hapo jana jumapili na tumeshuhudia matokeo ya kushangaza ns kufurahisha baadhi ya mashabiki. Mchezo uliokuwa unasubiliwa kwa hamu ni ule wa Manchester United Vs Liverpool



Mchezo huo ulimalizika kwa Liverpool kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 huku Manchester United wakipata wakati mgumu tagu mwanzo mpaka mwisho wa mchezo. Liverpool wanaendelea  kukaa kileleni kwa pointi 16 zaidi ya Manchester City . Haya hapa ni matokeo mengine ya mechi zilizopigwa hapo jana 




Post a Comment

0 Comments