Michezo ya raundi ya nne ya michuano ya kombe la Azam (ASFC) inaanza kupigwa leo Jumanne kwenye viwanja mbalimbali.Mchezo kati ya Yanga dhidi ya Tanzania Prisons utapigwa Jumapili
Januari 26 2020 katika uwanja wa Uhuru ni baada ya Yanga kumaliza mchezo wa ligi dhidi ya Singida United ambao utapigwa uwanja wa Namfua kesho
Post a Comment
0
Comments
MERIDIAN BET
EURO 2024
Kuanzia tarehe 14 june to 14 july AMOSPOTIXTRA TEAM itakuwa ujerumani kukuletea michuano ya EURO2024
0 Comments